Luoga aomba Mgodi wa ACACIA North Mara kuunga Mkono katika ujenzi wa Nyu...

Mkuu

wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akiongea katika hafla fupi ya

kukabidhi vitu mbalimbali vilivyotolewa na Wanawake wafanyakazi wa Mgodi

wa Uchimbaji wa Dhahabu ACACIA North Mara katika Maadhimisho ya

siku ya wanawake Duniani ambapo maadhimisho hayo, wameyafanya kwa

kutembelea Gereza la Wanawake Tarime, ambapo Mkuu wa Wilaya  huyo
amesema
kuwa ameomba uongozi wa Mgodi kumuunga Mkono katika Ujenzi wa Nyumba
100 za Jeshi la Polisi na Magereza zoezi ambalo anaendelea nalo kwa
sasa.
   

Tazama Video hapa chini.
Powered by Blogger.