Diwani wa CCM Komote awakatia wanachi 1860 Bima ya Afya



Katibu
Tawala Wilaya ya Tarime Kulia John Marwa kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya
Tarime Glorious Luoga akikabidhi  hundi ya mfano iliyotolewa na Diwani
wa kata ya Nkende CCM Daniel Komote kwa ajili ya kulipia wanachi wake
Mifuko ya Jamii CHF shilingi Millioni tatu kwa Mganga mfawidhi Zahanati
ya Magena Faudhia Mollel, wa Pili katika kulia ni Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Mji wa Tarime Elias Ntiruhungwa akifuatiwa na Mganga
Mkuu  Hospitali  Halmashauri ya Mji wa tarime Calvin Mwasha
Diwani
wa kata ya Nkende CCM Daniel Komote akiongea na wanchi wake baada ya
kukabidhi mfano wa hundi shilingilingi Millioni tatu kwa ajili ya
kulipia Mifuko ya jamii CHF wakiwemo wenyeviti wa mitaa 16 bila kujali
itikadi za vyama vya kisiasa.



Katibu
Tawala Wilaya ya Tarime John Marwa na Mkurugenzi  Halmashauri ya Mji wa
Tarime kutoka kulia Elias Ntiruhungwa wakiwa katika zoezi hilo la
kukabidhi Kadi za Bima ya Afya kwa wananchi wa kata ya Nkende Halmshauri
ya Mji wa Tarime.
Mganga
Mkuu Hospitali Halmashauri ya mji wa Tarime Calvin Mwasha akitoa elimu
kwa wananchi juu ya umhimu wa kujiunga na Mifuko ya Jamii.
Mkurugezni wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Elias Ntiruhungwa akiongea na Wanachi wa kata ya Nkende.
Katibu
Tawala Wilaya ya Tarime John Marwa ambaye alikuwa mgeni rasmi kwa niaba
ya Mkuu wa wilaya ya Tarime Glorious Luoga akiongea na wananchi hao na
kuimiza viongozi kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kujiunga na Mifuko
ya jamii.
Katibu Tawala John Marwa akikabidhi kadi za bima ya Afya kwa wanufaika
Hundi ya Mfano yenye thamani ya shilingi Millioni tatu .
TAZAMA VIDEO KUPATA HABARI KAMILI


Powered by Blogger.