Mwenge wa uhuru washiriki kufyeka Shamba la bangi Tarime Mkuu wa wilaya ...

Kiongozi
wa Mbio za Mwenge Kitaifa Katikati Amour Hamad Amour akifyeka bangi
katika Shamba la mmoja wa wananchi kijiji cha Remagwe kata ya Regicheri
Wilayani Tarime Mkoani Mara.
Shamba kabla halijafyekwa.
Mwenge wa Uhuru ukielekea katika shaba la bangi
Mkuu
wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akionesha baadhi ya mashamba ambayo
yalikuwa yakilimwa zao la bangi kwa sasa yanalimwa mazao mengine.
Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kulia akikabidhi Mwenge wa uhuru
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime Apoo Castro Tindwa
Mkuu
wa wilaya ya Tarime Kushoto Glorious Luoga akipokea Mwenge wa Uhuru
kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Apoo Castro
Tindwa.
Mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga  akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa

Katibu Tawala Wilaya ya Tarime John Marwa akipokea Mwenge wa Uhuru.


Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani Tarime Rorya Joseph Bukombe akipokea Mwenge wa Uhuru.
TAZAMA VIDEO ALICHOKISEMA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE BAADA YA KUFYEKA SHAMBA LA BANGI.
Powered by Blogger.