DC Luoga Wanawake wanafanya kazi Nyingi kuliko Wanaume

Mkuu
wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akiongea katika hafla fupi ya
kukabidhi vitu mbalimbali vilivyotolewa na Wanawake wafanyakazi wa Mgodi
wa Uchimbaji wa Dhahabu ACACIA North Mara katika siku ya kuadhimisha
siku ya wanawake Duniani ambapo maadhimisho hayo, wameyafanya kwa
kutembelea Gereza la Wanawake Tarime, ambapo Mkuu wa Wilaya  huyo
amesema kuwa tafiti zinaonyesha kuwa Wanawake wanafanya kazi kwa masaa
16-18 kwa siku ikiwa kwamba wanawake hao wana masaa 6-8 tu ya kulala kwa
siku..
             Tazama Video hapa chini.

Powered by Blogger.