TRA Mara Waomba UVCCM Tarime kutoa Elimu kwa bodaboda wasibebe Magendo

Kaimu
Meneja Forodha Mkoa wa Mara  Laurent Gabriel   akiongea na Viongozi wa
Umoja wa Vijana (UVCCM) Wilayani Tarime Mkoani Mara walipotembelea
ofisini hapo, ambapo ameomba umoja huo kuendelea kushirikiana vyema na
TRA ili kutoa Elimu kwa Waendesha pikipiki maarufu Bodaboda ili
kuondokana na Ubebaji wa Magendo suala ambalo linasababisha kutaifishwa
kwa vyombo vyao vya Moto.
Mwenyekiti
wa UVCCM Wilaya ya Tarime Godfrey Francis akiongea katika kikao hicho
na kuhaidi kushirikiana vyema na TRA kwa kuwapa Vijana Elimu pamoja na
wafanyabiashara wanaokwepa kulipa Kodi.


Kulia ni Katibu wa UVCCM Wilaya ya Tarime Newton Mwongi.
Tazama Video hapa chini TRA na UVCCM Walichokisema.

Powered by Blogger.