Katibu CHADEMA Mara atoa Msaada wa Viti 25 Kikundi cha Samartani Tarime

Katibu
wa CHADEMA Mkoa wa Mara  Mwl Chacha Heche akikabidhi Viti 25 kikundi
cha Samartani Tuinuane baada ya kuwa Mgeni rasmi katika kuvunja mzunguko
wa kikundi hicho hivi karibuni, ambapo alitoa ahadi ya viti hivyo ili
wanakikundi wapate sehemu ya kukaa wanapokuwa kwenye kikao chao.

Katibu
wa CHADEMA Mkoa wa Mara  Mwl Chacha Heche akiongea na Wanakikundi baada
ya kukabidhi msaada wa viti 25 ambapo wanakikundi wameunga mkono kwa
kuongeza viti 15.
Kati bu wa CHADEMA Mkoa wa Mara  Mwl Chacha Heche akisaini kitabu cha Wageni.
   Tazama Video alichokisema Katibu baada ya kukabidhi Viti hivyo.

Powered by Blogger.