Wakuu wa Mikoa 10 Ukanda wa Magharibi na kamati za Ulinzi na Usalama wak...


Wakuu
wa Mikoa 10 Ukanda wa Magharibi wakiwa katika picha ya Pamoja ambapo
wamekutana hii leo Wilayani Tarime Mkoani Mara kwa lengo la kujadili
suala zima la Ulinzi na Usalama, Ujirani Mwema ,Masuala ya Uchumi na
Viwanda, Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Mama na Mtoto pamoja na Mada
nyingine.
Mkuu
wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ambaye ni Mwenyekiti wa kikao hicho
akifungua kikao rasmi ameitaja Mikoa inayoshiriki kuwa ni , Mwanza, Mara
Singida, Shinyanga, Tabora,Kagera,Kigoma,Katavi, Simiyu na Geita.
Mkuu
wa Mkoa wa Mara Adam Malima ambaye ni Mwenyeji katika kikao hicho pia
Makamu Mwenyekiti akiwasilisha Mada zitakazojadiliwa katika Kikao hicho.
Wajumbe wa kikao hicho.
RPC Tarime Rorya Henry Mwaibambe akiwa katika Kikao hicho.
Mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akitoa salamu katika kikao hicho.
Picha zote na CLEO24NEWS. 
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ambaye ni Mwenyekiti wa kikao hicho akiongoza kikao.
Katibu tawala Mkoa wa Mara.
Picha ya pamoja wakuu wa Mikoa na MaRPC.
Picha ya pamoja na MaRCO.
Picha ya pamoja na Maofisa uhamiaji kutoka Mikoa kumi

Picha ya pamoja na Jeshi la Magereza.
Picha ya pamoja na Jeshi la Zima Moto.





Mkuu
wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akiwa katika picha ya pamoja na
Wakuu wa Mikoa 10  kutoka Ukanda wa Magharibi mwa Tanzania.
Picha ya pamoja na watoa Mada katika Kikao hicho.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Zainab Telack akiongea na Waandishi wa habari.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella akiongea na Waandishi wa habari.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu akiongea na Waandishi wa habari.
Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima akiongea na Waandishi wa Habari.
Tazama Video hapa Chini Wakuu wa Mikoa walichokisema.

Powered by Blogger.