Dc Rorya wanachi tumieni nguvu kubwa kulima zao la Muhogo badala ya zao ...
| Mkuu wa Wilaya ya Rorya Simon Chacha akisisitiza suala zima la Kilimo cha zao la Muhogo katika maadhimisho ya siku ya Wakulima na Wasindikaji wa zao la Mohogo yaliyofanyika katika kijiji cha Nyamasanda Wilayani Rorya Mkoani Mara, Mkuu wa Wilaya huyo amewataka wananchi kutumia nguvu kubwa katika kulima zao la muhoga kama walivyokuwa wakitumia nguvu hizo kulima zao haramu la bangi ambao kwa sasa kamati ya ulinzi na usalama wanaelekea kutokomeza Wilayani humo. |