Dc Luoga alia na Sheria kumaliza Kilimo haramu cha Bangi

Mkuu
wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akiongea na Vyombo vya habari kuhusu
taarifa ya uteketezaji wa mashamba ya bangi hekari263.5 ambapo amelia
na sheria zifanyiwe marekebisho ili kuwatia nguvuni watumiaji pamoja na
walimaji wa zao hilo
Waandishi wa Habari wakiwa kazini
TAZAMA VIDEO DC AKILIA NA SHERIA KUBADILISHWA
Powered by Blogger.