MBUNGE AZINDUA DARAJA LA MTO SAGAIMITI KATA YA KITARE MJINI TARIME.
Daraja la Mto Sagaimiti baada ya kuzinduliwa na Mbunge Matiko |
Diwani wa kata ya Kitare Charles Kasuku akiongea na wanachi wa Mtaa wa Nsomba. |
Akiwasilisha Taarifa kwa Mbunge. |
Mbunge wa jimbo la Tarime Mjini Matiko akiongea na wananchi wa Mtaa wa Nsomba kata ya kitare baada ya kuzindua Daraja la Mto Sagaimiti. |