Home mapenzi siasa UMESIKIA SAUTI INAYODAIWA KUWA YA MAPENZI MBOWE NA WEMA INAYOSAMBAA MTANDAONI?? BASI MBOWE KAFUNGUKA LEO UMESIKIA SAUTI INAYODAIWA KUWA YA MAPENZI MBOWE NA WEMA INAYOSAMBAA MTANDAONI?? BASI MBOWE KAFUNGUKA LEO

Habari inayotikisa mitandao ya kijamii kwa sasa ni ile Audio  (voice note/Sauti) inayodaiwa kuwa ya Muigazaji Wema Sepetu na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe inayoashiria kuwa wawili hao wana uhusiano wa kimapenzi.


Leo kupitia 255 ya XXL ya Clouds FM  Mbowe ameielezea sauti hiyo akisema taarifa hizo anazichukulia kama majitaka: 

“Mimi nalichukulia kama taarifa za kawaida za maji taka zinasambazwa. Taarifa ambazo zinatengenezwa hazina ukweli wowote ndio kitu ninachoweza kusema kwa sababu siyo za kweli.

“Timu yangu ya mitandao inajaribu kufuatilia kuhusu kundi ambalo limetengeneza kutuchafua kwani
Powered by Blogger.