TAZAMA VIDEO MBUNGE ESTER BULAYA APELEKWA HOSPITALI YA MKOA

Mbunge
wa Bunda Mjini Ester Bulaya aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya
Halmashauri ya Mji wa Tarime Mkoani Mara baada ya hali yake ya kiafya
kubadilika akiwa Rumande sasa bapewa rufaa ya kupelekwa Hospitali ya
Mkoa ili aweze kupelekwa Hospitali kubwa
TAZAMA VIDEO JINSI ALIVYOPELEKWA MBUNGE HUYO.
Powered by Blogger.