Apoo Castro Tindwa Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Tarime azidi kula...

Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mkoani Mara Apoo Castro Tindwa
akiongea katika Mahafali ya kwanza Shule ya Wasichana kidato cha tano na
sita Borega ambapo alikiuwa mgeni rasmi, Mkurugenzi huyo amezidi kuhasa
jamii kuondokana na suala zima la Ukeketaji kwa mtoto wa kike ili aweze
kutimiza ndoto zake za kupata Elimu.
Wahitimu wa kidato cha Sita shule ya wasichana Borega iliyopo wilayani Tarime Mkoani Mara.
Burudani.
Tunsubilege Lukasa Mwalimu Mkuu shule ya Wasichana Borega akisoma risala kwa mgeni rasmi.
,,,,,Tazama Video kupata habari kamili,,,,,
Powered by Blogger.