Picha katika Matukio: Waandishi wa habari wanolewa kuandika habari za kijinsia

Waandishi
wa habari za Kijinsia kutoka Mikoa mbalimbali wakiwa katika mafunzo
hayo Wilayani Kibaha Mkoani Pwani katika Ukumbi wa Kibaha,Mafunzo hayo
yameandaliwa na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania UTPC
lengo ni kuongeza ujuzi katika kuandika habari za kijinsia.
Mafunzo yanaendelea.
Vivian Pyuza Mwandishi wa Radio CG FM Tabora akiwasilisha Michango ya Makundi ikiwasilishwa kwa washiriki wa Semina hiyo
Grace Musoma Mwandishi wa habari kutoka Mkoani Njombe akiwasilisha Kazi ya Kikundi katika Semina hiyo.
Baraka Lusajo Mwandishi wa Habari kampuni ya Sahara Media akiwasilisha Kazi ya Kikundi katika Semina hiyo
Sylivia Freddy Mwandishi wa habari Mbeya akiwasilisha kazi ya Kikundi katika Semina hiyo.
Akichangia hoja.
Mwezeshaji
wa Masuala ya Kijinsia kutoka Shirikisho la Vyama vya Waandishi wa
Habari  Tanzania Agnes Kabigi akiendelea kutoa Elimu kwa waandhi hao
mafunzo hayo yameandaliwa na Muungano wa Klabu za Waandhi wa Habari
Tanzania UTPC .

PICHA ZOTE NA CLEO24NEWS.
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI WASHIRIKI WAKIZUNGUMZIA JUU YA MAFUNZO HAYO.

Powered by Blogger.