Mbunge Esther Bulaya awafunda wanawake

Mbunge
wa jimbo la Bunda Mjini kupitia CHADEMAEsther Bulaya  akiongea jinsi
alivyodhubutu katika uongozi kwenye mjadala ambao umeandaliwa na TGNP
Mtandao jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya Viongozi akiwemo aliyekuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Anna Makinda wakiwa katika Mjadala wa pamoja.
 
TAZAMA VIDEO BULAYA AKIWAFUNDA AKINA MAMA VIONGOZI.
Powered by Blogger.