Mkurugenzi msaidizi wa ajira Ofisi ya Waziri Mkuu inayohusika na Masuala ya Kazi,Ajira, Vijana na Walemavu Joseph Nganga akiozungumzia suala la ajira kwa Vijana katika Tamasha la TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Mbeya Zena Kapama akiwasilisha mada katika Tamasha hilo. Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Kishapu Joseph Swalala akiwasilisha Mada katika Tamasha hilo. TAZAMA VIDEO KUPATA HABARI KAMILI KUHUSU AJIRA KWA VIJANA NCHINI TANZANIA.