Kiongozi Mbio za Mwenge 2017 Amour Maabara zote lazima zikamilike Mapema

Kiongozi wa mbio za Mwenge Amour Hamad Amour akiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa maabara shule ya sekondari Sirari.
Mwalimu
Mkuu Shule ya Sekondari Sirari Bulogo Stephen Mbeba akikabidhi taarifa
ya ujenzi wa Maabara kwa kiongozi wa Mbio za Mwenge Amour Hamad Amour

TAZAMA VIDEO ALICHOSEMA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE BAADA YA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MAABARA HIZO.
Powered by Blogger.