Kiongozi Mbio za Mwenge 2017 Amour Maabara zote lazima zikamilike Mapema
| Kiongozi wa mbio za Mwenge Amour Hamad Amour akiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa maabara shule ya sekondari Sirari. |
| Mwalimu Mkuu Shule ya Sekondari Sirari Bulogo Stephen Mbeba akikabidhi taarifa ya ujenzi wa Maabara kwa kiongozi wa Mbio za Mwenge Amour Hamad Amour |
| TAZAMA VIDEO ALICHOSEMA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE BAADA YA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MAABARA HIZO. |