MBUNGE HECHE LAZIMA TUENDELEE KUFANYA KAZI ZA WANANCHI

Mbunge
wa jimbo la Tarime Vijijini John Heche akiongea na Waandishi wa habari
katika Ofisi za Chadema Wilaya ya Tarime Mkoani Mara, Mbunge huyo
amesema kuwa Madiwani wote kwa kushirikiana na Mbunge huyo  wataendelea
kufanya kazi za wanachi kwa lengo la kuwaletea Maendeleo katika Sekta ya
Afya, Elimu, Maji na Barabara.

 
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI.


Powered by Blogger.