Kiongozi mbio za Mwenge Diwani kata ya Sirari CHADEMA ni wa mfano

Kiongozi
wa mbio za Mwenge kitaifa Amour Hamad Amour akimpongeza Diwani wa kata
ya Sirari CHADEMA Paul Nyangoko kwa kushiriki katika uwekaji wa jiwe la
Msingi katika maabara ya Sirari sekondari pamoja na kukabidhi cheki kwa
vikundi mbalimbali.
TAZAMA VIDEO ALICHOKISEMA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE.
Powered by Blogger.