Video, Picha katika Matukio Tofauti Katibu wa CCM Mkoa wa Mara Innocent Nanzabar alipokuwa katika ziara yake Wilayani Rorya Mkoani Mara.

Katibu wa Chama cha Mapinduzi( CCM) Mkoa wa Mara Innocent Nanzabar akiongea na viongozi wa chama hicho katika kata ya Bukwe Wilayani Rorya Mkoani Mara ni katika ziara yake aliyoanza hii leo kwa lengo la kutoa maagizo kwa viongozi ngazi ya Shina na Tawi waliochaguliwa.

        Katibu wa CCM Mkoa wa Mara Innocent  akisisitiza jambo kwa viongozi hao



Katibu wa CCM Wilayani Rorya Rucy Bonephace akiteta jambo na katibu wa CCM Mkoa wa Mara
Mwenyekiti wa CCM Wilayani Rorya Mkoani Mara Samwel Kiboye N03 akisisitiza jambo katika kikao hicho kilichofanyika kata ya Bukwe kwa lengo la kutoa maelekezo ya chama pia Mwenyekiti huyo amewaomba wanachama kuondoa tofauti zao na  makundi katika harakati hizi za uchaguzi Ngazi ya Kata Wilaya Mkoa hadi Taifa kwa lengo la kulinda heshima ya chama huku akipongeza juhudi za Rais katika kazi yake.
Katibu UWT Mkoa wa Mara Irimina Mushongi akisisitiza akina mama kujitokeza katika chaguziKatibu wa wazazi CCM Mkoa wa Mara Robert Manjebe akisisitia suala zima la wazee kuendelea kushauri vyema chama huku vijana wakipata nafasi mbalimbali za uongozi katika chama hicho

Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Rorya Mkoani Mara Samwel Kiboye NO3 akiteta jambo na Katibu wa CCM Mkoa wa Mara Innocent Nanzabar kulia ni Katibu wa CCM Wilayani Rorya Rucy Boniphace


Viongozi wa CCM Kata ya Bukwe Wilayani Rorya Mkoani Mara  kutoka Ngazi ya Shina, Tawi, hadi Kata wakiwa katika kikao cha Ndani kilichofanyika katani humo kwa lengo la kupokea maelekezo kutoka kwa viongozi wa Mkoa baada ya uchaguzi wa Matawi, na Mashina.

SIKILIZA VIDEO VIONGOZI WA MKOA WA MARA CCM WALICHOKISEMA KATIKA ZIARA YA KATIBU WA CCM MKOA WA MARA INNOCENT NANZABAR WILAYANI RORYA

Powered by Blogger.