MAMA GRACA MACHEL , APOKEA RIPOTI YA UTAFITI WA WATOTO WALIO NJE YA MFUMO WA SHULE MKOA WA MARA.



Askofu wa Jimbo  la Roman Katoliki la Musoma  Michael Msonganzila akimpokea  Mama Graca Machel ambaye amewasili mjini Musoma Mkoani Mara leo  kwa zira ya siku tatu .




Baadhi ya wadau  akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Butiama Anna-rose Nyamubi wakimsikiliza  Mama Mama Machel




Askofu Msonganzila akitoa taarifa fupi kuhusu kuhusu mradi watoto walio nje ya mfumo wa shule kwa Mama Machel

Baada ya kupokelea

Akisaini kitabu cha Wageni

Wadau


Mkuu wa wilaya ya Musoma Vicent Naano akiongea na wadau kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mara  Dkt Charles Mlingwa


Graca Machel akiongea na Wadau katika Mkutano huo wa kuzindua ripoti.



Mzee Suguta Nyamhanga mwanafunzi wa Darasa la kwanza miaka 78 shule ya msingi Makerero Tarime akiongea na Askofu wa kanisa Dayosisi ya Musoma Michael Msonganzila baada ya kueleza kile kilichomfanya kwenda shule akiwa na umri mkubwa,



Waandishi wa habari


Askofu akiongea na waandishi


Graca akiongea na waandishi wa habari

Mwanzilishi wa MEMKWA Dkt Naomi Katunzi akiongea na waandishi wa habari



Walimu wanaoandaliwa kwa ajili ya kufundisha wanafunzi wa MEMKWA wakiwa darasani

Graca akiongea na walimu wanaopata mafunzo kwa ajili ya kufundisha wanafunzi.




Powered by Blogger.