ANGALIA PICHA ZA MATUKIO TOFAUTI MBUNGE WA TARIME MJINI MATIKO ALIPOTEMBELEA SHULE YA MSINGI TARIME

Mbunge wa jimbo la Tarime Mjini Esther Matiko akitembelea shule ya Msingi Tarime kwa ajili ya kukagua ujenzi unaoendelea kutokana na fedha za mfuko wa jimbo pamoja na Nguvu za wanachi wake.



Ujenzi wa shule ya msingi Tarime.


Mwalimu mkuu shule ya msingi Tarime akieleza Mbunge changamoto zinazokumba shule hiyo na ujenzi ulipofikia.

Mbunge akieleza mikakati yake katika kuboresha sekta ya Elimu ya Msingi na sekondari huku akibainisha kuwa shule nyingi zinasoma kwa zamu kwa sababu ya upungufu wa vyumba vya madarasa na suala hilo linawez kuchangia kushuka kwa taaluma mbali na Darsa la Saba matoke mwaka jana imekuwa ya kwanza kimkoa katika mkoa wa Mara.


Mwenyeikiti wa Mtaa akibainisha jambo kwa Mbunge.





Mbungea akiongea na wanafunzi wa shule ya msingi Tarime

Mbunge akikabidhi vifaa vya Michezo.


Powered by Blogger.