Wafanya biashara wakubwa Tarime wanatumia bodaboda kubeba Magendo
Issack Masonda Afisa Mzuiaji Msaidizi Kitengo Cha Forodha Tanzania akiongea na Waendesha Pikipiki Marufu Bodaboda Sirari hii leo walipokutana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya Henry Mwaibambe, ambapo amesema kuwa wafanyabiashara wakubwa Tarime wanatumia Bodaboda kubeba magendo jambo ambalo ni hatari kwao na kuwataka kuwa mabalozi wa kupinga Magendo. |