RPC Tarime Rorya Mwaibambe akutana na Bodaboda Sirari

Kamishna
Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Polisi Tarime Rorya
Henry Mwaibambe akiongea na Waendesha pikipiki Maarufu Bodaboda Sirari
hii leo ambapo amepiga Vita suala la Bodoboda hao kutumika Vibaya katika
kubeba magendo pamoja na Madawa ya Kulevya, huku akiwataka kufuata
sheria za Usalama Barabarani na kutii sheria bila Shuruti.








Bodaboda wakisiliza RPC Tarime Rorya Henrry Mwaibambe.
Kutoka
Kushoto ni Isaack Masonda ambaye ni Afisa Mzuiaji kituo cha Forodha
Sirari, katikati ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Polisi Tarime Rorya Henry
Mwaibambe akifuatia ni Mrimi Zabron ambaye ni Katibu wa Mbunge Jimbo la
Tarime Vijiji John Heche wakiwa katika Kikao hicho.
Ally Shaali R.T.O Tarime Rorya akiongea na Bodaboda na kusisitiza suala zima la kufuata Sheria za Usalama Barabarani.
Said Kasim OCD Sirari akitoa changamoto zinazowakumba Bodaboda Sirari.
Kamanda Henry akionyea baadhi ya Madawa ya Kulevya yaani mirungi ambayo imewkuwa ikisafiorishwa na Boda boda hao.
Isaack
Masonda ambaye ni Afisa Mzuiaji kituo cha Forodha Sirari akifafanua
Sheria zinavyosema na kuwaomba boda boda hao kufuata taratibu za kubeba
mizigo kutoka Nchi jirani ya Kenya.
Picha ya pamoja.
Bodaboda wakiongea na kamanda nje ya ukumbi.
Kamanda Mwaibambe akijibu baadhi ya hoja za waendesha pikipiki nje ya ukumbi baada ya mazungumzo ya pamoja.
     Tazama Video alichokisema RPC Tarime Rorya Kuhusu Bodaboda hao.

Powered by Blogger.