Mkuu wa Wilaya Tarime Luoga atangaza Msako mkali kwa Wafanyabiashara was...

Mkuu
wa Wilaya ya Tarime Gloriuos Luoga akiongea na Waendesha Pikipiki
Maarufu Bodaboda hii leo  katika ukumbi wa bwalo la polisi kwenye
ufunguzi wa Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani ambapo ametoa Tamko
kuhusu Msako mkali utakaofanyika Kesho kwa Wafanyabiashara wote Wilayani
Tarime Mkoani Mara wanaokwepa kodi kwa kutotumia Mashine za Kieletronic
EFDs, "Nyumba za kulala Wageni, Maduka yote   na Baa zote kwa
kushirikiana naViongozi kesho tutaanza rasmi msako tutafunga kila kitu
mpaka atakapolipia mashine hiyo tunafungua sasa " alisema Luoga.
 
Tazama Video hapa chini akitoa tamko hilo Dc Luoga.


Powered by Blogger.