Dc Luoga Bodaboda Tarime Msitumike kubeba Magendo

Mkuu
wa Wilaya ya Tarime Glorius Luoga akiongea na Waendesha Pikipiki
Maarufu Bodaboda Wilayani Tarime katika Ufunguzi wa Wiki ya Nenda kwa
Usalama Barabarani ambapo Mkuu wa Wilaya huyo amewataka bodaboda hao
kutokubali kutumiwa vibaya  na wafanyabiashara katika suala zima la
ubebaji Bidhaa za Magendo na kuwataka kufuata sheria za Usalama
Barabarani.
 
Bodaboda.
Mkuu
wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akiteta jambo la Mkuu wa Kikosi cha
Usalama Barabarani Tarime Rorya Ally Shaali katika Ufunguzi wa Wiki ya
Nenda Kwa Usalama Barabarani.
          Tazama Video hapa Chini alichokisema DC Luoga.

Powered by Blogger.