Ufunguzi wa Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani Tarime Rorya Ilivyokuwa...

Mwenyekiti
wa kamati ya Usalama Barabarani Tarime Rorya Erenest Oyoo akisisitiza
jambo katika ufunguzi wa Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani
ilioyofunguliwa rasmi na Mkuu wa Wilaya ya Tarime, katikakati ni Mkuu wa
Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akifuatia Mkuu wa Kikosi cha Usalama
Barabarani Tarime Rorya ambaye pia ni Katibu wa Kamati ya Usalama
Barabarani Tarime Rorya Ally Shaali.
Bodaboda wakiwa katika Ukumbi wa Bwalo la Polisi Mjini Tarime.
Boda boda  hao wakionyesha bango lenye ujumbe   kwa mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga.
Mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga  akionyesha bango lenye ujumbe
Mkuu wa Wilaya Tarime akiteta jambo na R.T.O Tarime Rorya Ally Shaali.
Inspector Anthony Kahema akisoma Risala kwa Mgeni rasmi.
Mkuu wilaya akikabidhiwa Risala.
Mkuu
Wa Wilaya ya Tarime Glorous Luoga akiongea na Bodaboda hao ambapo
amesisitiza suala zima la kufuata Sheria za Usalama Barabarani huku
wakiondokana na ubebaji bidhaa za Magendo.
Tazama Video hapa Chini Ufunguzi ulivyokuwa na Viongozi Mbalimbali walichokisema.

Powered by Blogger.