Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua

Katibu
Mtendaji Baraza la Taifa Uwezeshaji Wanachi Kiuchumi Bengi Issa
akiwasilisha Mada hii leo  katika Tamasha la 14,  2017 lililoandaliwa
na  TGNP Mtandao ambalo limefunguliwa rasmi jana na Makamu wa Rais Mh 
Samia Suluhu Hassan.
Mkurugenzi
Idara ya Kuondoa Umaskini Wizara ya Fedhana Mipango Anna Mwasha
akiwasilisha mada ambapo amewataja Watanzania wakiwemo akina mama kuunda
Vikundi mbalimbali ili kupewa Mikopo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi.
Mratibu
wa Ardhi kutoka Shirika la Care International Marry Ndaro akiwasilisha
mada ambapo amezungumzia masuala ya umiliki wa ardhi kwa wanawake sera
inapaswa kutoa kipaumbele kwa mwanamke ili aweze kumiliki ardhi.
Mratibu wa Masuala ya Ujumuishwaji kutoka shirika la Sight Savers Angela Michael akiwasilisha Mada katika Tamasha hilo.
Mkurugenzi
Mtendaji TGNP Mtandao Lilian Liundi akichangia mada hii leo katika
Tamasha ambapo amesema kuwa bila mwanamke kumiliki ardhi bado suala la
kukua kiuchumi kwa mwanamke ni changamoto kubwa ususani Maeneo ya
Vijijini.
Siti
Abbas Ali kutoka Shirika la Zanzibar Coalition akichangia mada ambapo
amesema kuwa  mwanamke wa Zanzibar anakumbwa na changamoto katika
kuchagua na kuchaguliwa ngazi za uongozi.
Washiriki katika Tamasha hilo.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia matukio  katika Tamasha hilo.
Baadhi
ya Viongozi Wanawake akiwemo aliyekuwa Spika wa Bunge Anna Makinda,
Esther Bulaya wa pili kutoka Kulia wakieleza jinsi walivyodhubutu kama
wanawake ni katika majadiliano ambayo yameandaliwa na TGNP Mtandao
katika Tamasha hilo la Jinsia 2017.

Wanafuatilia Mjadala huo.
Mbunge
wa Jimbo la Bunda Mjini Esther Bulaya akieleza alivyodhubutu kama
mwanamke na kuweza kuchaguliwa  na wananchi bila kujali Mila na Desturi.
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI.
Powered by Blogger.