TAZAMA VIDEO: MADIWANI TARIME MJI KILIO CHETU KIFIKE KWA MH: RAIS MAGUFULI
Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Mkoani Mara wakiwa katika Baraza la Kufunga mwaka2016-2017 na Kuchagua Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na kamati mbalimbali |
Mbunge wa Viti maalum CHADEMA Mkoa wa Mara Joyce Sokombi akichangai hoja katika Baraza hilo |
Mbunge wa jimbo la Tarime Mjini Esther Matiko akichangia hoja kuhusu ya Halmashauri ya Mji wa Tarime kubomoa majengo ya Shule ya Msingi Mturu ambayo yamejengwa Uwanja wa ndege kwa nguvu za wanachi kuwa wamevamia eneo la mwekezaji wa Viwanda lakini Mwekezaji ameshindwa kuendeleza eneo hilo na ikapelekea wanachi kujenga Shule. |
Makamu Mwenyekiti aliyechaguliwa kwa awamu ya pili Bashir Abdalah akitoa hoja katika baraza hilo |
Diwani wa kata ya Kitare Leonard Kasuku akichangia hoja katika Baraza hilo.
Diwani wa kata ya Nkende Daniel Komote akichangia hoja katika Baraza hilo. |
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Elias Ntiruhungwa akijibu hoja za madiwani hao |
TAZAMA
VIDEO MADIWANI WALICHOKISEMA KUHUSU KUBOMOLEWA MAJENGO YA SHULE YA
MTURU KATA YA TURWA INAYOJENGWA KWA NGUVU ZA WANACHI ENEO LA MWEKEZAJI.
VIDEO MADIWANI WALICHOKISEMA KUHUSU KUBOMOLEWA MAJENGO YA SHULE YA
MTURU KATA YA TURWA INAYOJENGWA KWA NGUVU ZA WANACHI ENEO LA MWEKEZAJI.