WAFANYABIASHARA WADOGO TARIME WAMPONGEZA MBUNGE MATIKO KWA KUWAFUNGIA SOLA ZA MWANGA KATIKA SOKO LA JIONI

Mbunge
wa jimbo la Tarime Mjini kupitia CHADEMA Esther Matiko akiongea na
akina mama ambao ni wafanyabiashara wadogowadogo wanaouza Mbogamboga
katika soko la jioni Serengeti kuhusu Sola za Mwanga alizofunga ili
kuwaondolea hadha ya kutumia Mishumaa, na Vibatari.
Mbunge Matiko akisalimiana na mmoja wa wauza mboga za majani katika soko hilo.
Sola
zilizofungwa na Mbunge wa Jimbo la Tarime Mjini Esther Matiko zenye
thamani ya Shilingi Millioni 15 kwa Kushirikiana na PSPFambapo Mbunge
huyo amesema kuwa ametoa shililingi millioni Kumi na PSPF Millioni Tano
lengo ni kusaidia akina mama katika biashara zao za jioni.
Mmoja wa akina mama mfanyabiashara wa kuuza Nyanya na Dagaa  akitoa shukrani kwa Mbunge




TAZAMA VIDEO WAFANYABIASHARA WAKITOA SHUKRANI KWA MBUNGE MATIKO.
Powered by Blogger.