Video,Picha katika Matukio kilele cha Siku ya Mazingira Duniani Kitaifa yamefanyika Wilayani Butiama Mkoani Mara Makamu wa Rais Mh: Samia Suluhu amewataka watanzania kutunza Mazingira.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan akiongea na Wanachi wa Butiama katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambapo kitaifa yamefanyika Mkoani Mara Butiama katika Viwanja vya Mwenge ili kuenzi Baba wa Taifa Hayati  Mwl Julius Kambarage Nyerere.





Grace Kisyombe ambaye ni Afisa Uhusiano  Tanesco Makao Makuu  akisalimiana na Makamu wa Rais baada ya kufika katika Banda la Shirika la Umeme Tanzania TANESCO

Grace Kisyombe ambaye ni Afisa Uhusiano  Tanesco Makao Makuu akieleza Makamu wa Rais Jinsi wanavyotoa Huduma kwa Wananchi.


Mwenyekiti wa kikundi cha Serengeti Arts Group Paulina Boma akieleza Makamu wa Rais jinsi kikundi hicho kinavyofanya kazi za mikono.

Makamu wa Rais akipokea zawadi ya kikapu kutoka kwa Mwenyekiti wa Kikundi cha Serengeti Arts Group Paulina Boma.

Makamu wa Rais akitoa Shukrani zake baada ya kupewa zawadi

Makamu wa Rais akisalimiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Apoo Castro Tindwa baada ya kufika katika Banda la Halmashauri hiyo

Halmashauri ya Wilaya ya Tarime ikieleza kile wanacho kifanya katika maadhimish hayo.

 

Mkuu wa Wilaya ya Butiama Annarose Nyamubi akiongea na wananchi katika kilele hicho.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh January Makamba akiongea na waanchi katika Kilele hicho.

Mkuu wa Mkoa wa Mara Dkt Charles Mlingwa akiongea na Wanachi Butiama katika Kilele hicho



 Vikundi vya Burudani

Picha zote na CLEO24NEW ukiwa na Habari piga simu namba 0766424928

TAZAMA VIDEO YA MAKAMU WA RAIS KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA KITAIFA MKOANI MARA.

Powered by Blogger.