SERENGETI BOYS KUTUA NCHINI MCHANA SAA TISA KASORO


Timu ya Taifa ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 maarufu kwa jina la Serengeti Boys inatarajiwa kuondoka jijini Libreville, Gabon saa 7.15 usiku wa kuamkia kesho Jumatano na itaingia saa 8.50 mchana ambako moja kwa moja itakwenda kambini Hoteli ya Urban iliyoko katikati ya jiji la Dar es Salaam, Tanzania. Watasafiri kwa ndege ya Afrika Kusini.

Alfred Lucas

MSEMAJI TFF

Powered by Blogger.