Picha: Katika Matukio tofautI Mfuko wa Pensheni wa PSPF Mkoa wa Mara wakabidhi Msaada wa Solar na Taa zenye thamani ya Shilingi Millioni Tano Ofisi ya Mbunge Matiko Jimbo laTarime Mjini.


Meneja wa Mfuko wa PSPF Mkoa wa Mara Deogratias Njuu akikabidhi   Solar Katibu wa Mbunge Peter Magwi katikati  Jimbo la Tarime Mjini kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Esther Matiko.


Meneja wa Mfuko wa PSPF Mkoa wa Mara Deogratias Njuu akikabidhi taa ya Solar Katibu wa Mbunge Peter Magwi  Jimbo la Tarime Mjini kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Esther Matiko.


Meneja PSPF akikabidhi Solar zenye thamani ya shilingi Millioni Tano amesema kuwa solar hizo zitafungwa katika maeneo ya masoko likiwemo soko la jioni Serengeti pamoja na Soko Kuu Mjini Tarime Mkoani Mara  kwa  lengo la kusaidia akina mama wajasiriamali wapatao  wanaotumia vibatari na mishumaa nyakati za usiku katika kuuza bidhaa zao, Hata hivyo Meneja  amewataka wajasiriamali  kujiunga na Mfuko wa Mpango wa Uchangiaji  wa Hiari (PSS) ,Mfuko huo unalenga mtu yeyote mwenye sekta iliyo rasmi au isiyo rasmi(Wajasiriamali) Kiwango chake cha chini 10,000 unalipia kupitia njia ya Simu,Banki,  au Max Malipo pia uanapata Mafao mbalimbali kama fao la ujasiriamali na Bima ya Afya N.k





Baadhi ya Solar na Taa zilizotolewa na Mfuko huo wa PSPFambapo wajasiriamali 1000 watanufaika na Mwanga.



Katibu wa Mbunge Peter Magwi Jimbo la Tarime Mjini Esther Matiko akitoa shukrani baada ya kupokea vifaa hivyo


Fred Mwita Chacha Mratibu Ofisi ya Mbunge akishukuru Meneja PSPF kwa Msaada huo.


Picha ya Pamoja kushoto wa kwanza ni Katibu wa Mbunge Peter Magwi Jimbo la Tarime Mjini Esther Matiko  katikati ni Meneja Mfuko wa  Pensheni PSPF Mkoa wa Mara Deogratias Njuu Kulia wa kwanza ni Eng Fred Mwita Chacha Mratibu Ofisi ya Mbunge.



Katibu wa Mbunge akitoa shukrani kwa meneja PSPF baada ya kukabidhiwa solar panel 

 

Meneja PSPF Mkoa wa Mara Njuu akisaini kitabu cha wageni.  




 

Meneja wa Mfuko wa Penshini PSPF Mkoa wa Mara Deogratias Njuu akiongea na CLEO24NEWS baada ya kukabidhi vifaa hivyo vya Solar pamoja na Taa.

Katibu wa Mbunge Peter Magwi akitoa Shukrani kwa PSPF baada ya kupokea Vifaa hivyo

PICHA ZOTE NA CLEO24NEWS KWA HABARI NA MATUKIO PIGA SIMU    NO: 0766424928


Powered by Blogger.