PICHA KATIKA MATUKIO :CCM MKOA WA MARA HATUTAFUMBIA MACHO VIONGOZI WATAKAO TUMIA FEDHA KATIKA UCHAGUZI.
![]() |
Katibu wa chama cha Mapinduzi (CCM)Mkoani Mara Innocent Nanzabar akisisitiza jambo katika kikao cha Halmashauri kuu ya chama Wilayani Rorya Mkoani Mara. |
![]() |
![]() |
![]() |
Wajumbe wa Halmashauri kuu wakiwa katika kikao Wilayani Rorya Mkoani Mara. |
![]() |
![]() | |
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF Wilayani Rorya Mkoani Mara George Agano baada ya kujiunga na Chama cha Mapinduzi Wilayani Rorya Mkoani Mara. |
![]() |
![]() |
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF Wilayani Rorya Mkoani Mara George Agano baada ya kujiunga CCM akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa Mara Innocent Nanzabar. |
![]() |
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF Wilayani Rorya Mkoani Mara George Agano akisalima na Mwenyekiti wa CCM Wilayani Rorya Mkoani Mara Samwel Kiboye. |
![]() |
![]() | ||
Katibu wa CCM Mkoa wa Mara Innocent Nanzabar amesema kuwa Chama hakitavumilia Viongozi ambao watatumia pesa katika chaguzi zozote ili kuendelea kulinda heshima ya Chama hicho. |