CCM RORYA HATUTAKUBALI VIONGOZI WASALITI

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WILAYANI RORYA SAMWEL KIBOYE AKIONESHA BAADHI YA KADI ZA CHADEMA AMBAZO ZIMERUDISHWA ZAIDI YA 100 WANACHAMA WA CHAMA HICHO NI KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 40  KUZALIWA KWA CHAMA CHA MAPINDUZI( CCM)
Katika Kuadhimisha miaka 40 ya kuzaliwa chama cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Rorya Mkoani Mara Chama hicho kimesema kuwa hakitawafumbia Macho viongozi wote kuanzia ngazi za Matawi, Mashina kata hadi Wilaya   ambao wataendelea kukishika Miguu huku wakienda Kinyume na Taratibu za uchaguzi  wa Jumuiya za CCM ambao unatarajiwa kufanyika Mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Wilayani Rorya Mkoani Mara Samwel Kiboye katika kongamano la kuadhimisha Miaka 40 ya kuzaliwa chama cha mapinduzi ambapo kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa  ofisi za chama hicho Wilaya.
MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA RORYA NO3 AKIONESHA BAADHI YA BENDERA ZA CHAMA PINZANI AMBAZO ZIMEREJESHWA NA WALIKUWA WANACHAMA WA CHAMA HICHO BAADA YA KUREJEA CMM KUTOKANA NA KASI YA RAIS


WANAMICHEZO YA KARATE AMBAO WALIKUWA WANABURUDISHA KATIKA KONGAMANO HILO WILAYANI RORYA MKOANI MARA
MKUU WA WILAYA YA RORYA SIMON CHACHA AKIONGEA NA WAJUMBE KATIKA MAADHIMISHO YA KUZALIWA KWA CCM MIAKAMIAKA  40 AMESEMA KUWA SERIKALI INAENDELEA KUTEKELEZA VYEMA ILANI YA CHAMA HICHO HUKU AKIWATAKA WANACCM KUUNGANA KWA PAMOJA NA KUSHIRIKIANA VYEMA KATIKA KUJENGA CHAMA HICHO.

BAADA YA KONGAMANO KUMALIZAIKA.

Powered by Blogger.