Aliyetangaza naia ya udiwani chadema atoa kipaumbele cha kupinga rushwa.



 Tarime.
Aliyetangaza naia ya udiwani chadema  atoa kipaumbele cha kupinga rushwa.
                                   Tarime
Aliyetangaza nia ya kuwania udiwani katika kata ya Nyamisangura kupitia tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Wilayani Tarime Mkoani  Mara ambaye kwa sasa ni mwenyekiti wa mtaa wa StareheBashiru  Abdalah atoa kipaumbele cha kupambana na suala zima la kupinga rushwa kwa lengo la kuleta maadaili mem katika uongoziwake endapo chama chake kitaweza kumpa ridhaa ya kupeperusha bendera .      
Bashiru alisema hayo juzi kipindi alipokuwaakiongea na vyombo vya habari baada ya kurudisha fomu katika ofisi za chamaicho w ya kuwania udiwani katika kata ya Nyamisangura wilyani hapa.
Aloongeza kuwa viongozi waliowengi wamekuwa wakikosa maadili ya utumisha kwa kujiusisha na suala zima la kupokea na kutoa ruhwa sualaambalo  linazidi kusababisha wananchi kukosa imani na viongzi wao.    
“Mimi kwa sasa ni mwenyekiti wa mataa wa starehe lakini wananchi wangu nawaandikia barua bila ya kuwatoza fedha zozte suala ambalo najivunia bna nitaleendeleza ili kulinda utu wang katika uongozi ambao nitakuwa nimepewa na wananchi wangu “alisema Bashiru.  
Aidha bashiru aliongeza kuwa katika uongozi wake tangia achaguliwe katika chaguzi zilipopita zaserikali za mitaa tayari ameisha unda vikundi viwili vya ujasiliamali kwa lengo la kuweka vijana pamoja ili waweze kujiendeleza na kukuza uchumi wao.
Hata hivyo Mwenyekiti uyo aliongeza kuwa suala la uasafi katika mtaa wake limekuwa na kipaumbele pia wananchi wake wameweza kuitikia suala ambalo anajivunia mpaka sasa.
………..Mwisho…….
Powered by Blogger.