Wanne wauwawa katika kata ya Muriba nane mbaroni.

Wanne wauwawa katika kata ya Muriba nane mbaroni.

Katika kijiji cha Muriba kata ya Muriba Tarafa ya Ingwe wilayani Tarime Mkoani Mara  Mnamo 8 Agosti  Mwaka huu majira ya saa tatu usiku  watu wane walisadikiwa kuwa ni majambazi raia wa nchi  jirani ya kenya waliuwawa.
 
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi katika mkoa wa kipolisi Tarime Rorya ACP Lazaro Mambosasa alisema kuwa  watu hapo walitambuliwa mmnamo Agosti 03 mwaka huu majambazi hao waliweza kuvamia kijijini hapo  wakiwa na silaha za kivita na mapanga na kufanikiwa kupora fedha dukani kwa mfanyabihashara aitwaye Shadrack Mahenya ambaye ni mmiliki wa duka la jumla na rejareja kijijini hapo na watu watu walijeruhiwa katika tukio hilo.
 
 Kwa mujibu wa kamanda huyo baada ya wananchi kutambaua miongoni mwa majambazi hao waliofanya uvamizi wa tukio hilo kutoka katika kijijihichobhabada ya kuzuka taharuki  kubwa iliyokuwa bado inatenda  miongoni mwa wananchihao na ndipo kundi la wananchi lilijitokeza nakuwazidi viongozi wa serikali nguvua na kuanza kushambulia watuhumiwa baada ya kuhojiwa na kukiri kuwa walishiriki katika unyanganyi huo.
 
Kamanda aliwataja kwa majina kuwa marehemu walitambulika kwa majina ya  Sagire Magasi Mkurya 25 mkazi wa Mfanya mfanya bihashara wa kuhuza supu nchini Kenya,na ni mkazi wa kijiji cha itilio wilayani Tarime wa pili ni Mwita Rugema mkurya 30 mkulima na mkzai wa ntimaru Kenya wa tatu Rogna Nyamoahoyi mkulima kazi wa Kenya, Machera Sando Marwa mkurya mkulima wa Girabose nchini Kenya.
 
Chanzo cha tukio hilo la mauaji ni taarifa ni taarifa zilizopokelewa hapo kijijini zikieleza kuwa watuhumiwa hao ni majambazi na kwamba waliousika mnamo agosti 3 mwaka huu tukioambalo lilitokea kijijini hapo na kusababisha majeruhi watatuna kuwapora fedha na jeshi la polisi walipopata taarifa walifanya juhudi za kuokoa watuhumiwa hao sauala ambalohalikuzaa matunda na miili imeifadhiwa hospitali ya halmashauri ya mji wa Tarime huku zikisubiliwa juhudi za mazishi.
 
Mpaka sasa jeshi la polisi kanda maalumu Tarime Rorya kwa ushirikiano wa kamishena msadizi wa jeshi la polisi  watu nane wanashikiliwa kwa maho jiano zaidi na watu hao ni Modesta Ghati 40 kurya,Mofati Mwita 50 kurya,Mhina chacha 26 kurya, Mwita wambura  46, Nyamuhanga Mwita42,  Samweli Nyagisare Chacha 25 na James Chacha 50 wote wakurya.
 
Kamanda ametoa wito kuwa jamii iondokane na suala lakujichukulia sheria mkononi bali itoe taarifa kwa jeshi la polisi pale inapobaini mwalifu.
                                   …..MWISHO….
Powered by Blogger.