Wananchi tunzeni vizuri Mira

                                 Picha ya mwenyekiti wa kijiji cha Nyamwaga Tarafa Ingwe Mkoani Mara ambaye pia ni katibu wa Ushirika wa Nyabigena Security Mining Cooperative uliopo Nyamwaga akifafanua jinsi wananchi wanavyonufaika na Misaada kutoka Mgodi wa dhahabu wa Nyamongo African Barrick Gold Mine( ABG)
 
Wanachiwametakiwa kutunza miradi wanaopewa ili miradi hiyo iweze kutumiwa na  kizazi kianchokuja pamoja na  kunufaika kupitia Miradi hyo

Kauli hio imetolewa na Mwekiti wa kijiji cha Nyamwaga ambaye pia ni katibu wa Nyabigena Saccos Mining  Security Cooperative Kirigiti Sasi  iliyopo Nyamwaga Tarafa ya Ingwe Wilayani Tarime Mkoani Mara.

Mwenekiti huyo alitoa  kauli hiyo kipindi akiongea na gazeti ili kuhusiana na vijiji vinavozunguka mgodi wa African Barrick Gold Mine (ABG)  North Mara ulipo Nyamongo vinanufaika vipi na je miradi wanayopewa wananchi wanailinda vipi ili isiweze kuharibika.

Alisema kuuwa mgodi huo umekuwa ukitoa misaada mbalimbali na  vikundi mbalimbali pamoja na ushirika ambao unatambulika Serikalini kwa lengo la kuleta maendeleo katika vijiji saba vinavozunguka mgodi huo lakini wananchi waliowengi wamekuwa wakitunza miradi hiyo japo changamoto zipo.

Aidha Kirigiti alisema kuwa kupipia Ushirika wao  wamekuwa wakipata ufadhili wa mgodi na kuweza kuwapa kazi mbalimbali ndani ya Mgodi na nje ya Mgodi ili vijana wanaozunguka vijiji saba waweze kupata ajila kupitia ushirika huo na kusema Ushirika huo unajumla ya wafanyakazi 917 ambao wameweza kupata ajila kupitia Miradi mbalimbali inaoendeshwa na Ushirika huo wa Nyabigena  huku Ushirika wa Saccos ukiwa na Wafanyakazi, 122, 300   walinzi na140 wakifanya Sido  kazi mbalimbali kupitia uhirika huo na Sido Wafanyakazi 80.

Pia aliongeza kuwa mapa ka sasa ushirika wao wa Kuweka na kuko kwa sasa una jumla ya zaidi ya Millioni  200 na  kusema kuwaUshirika huo umekaguliwa na msajili wa vyama vya Ushirika Mkoa a wa Mara,  na kila mwanachama ana uwezo wa kukopa ili kuweza kufanya mairadi yake ya msingi pamoja na kusomesha watoto.

“Tunazidi kushukuru Mgodi wa Barrick umetusaidia misaada mbalimbali, tumepewa tenda za usafi, Kukusanya vyuma chakavu,na kupulizia dawa ya mbu ili kuwakinga na maralia wafanyakazi wa mgodini na tunapata kipato” aliseama.
Sanajari na hayo katibu huyo wa Ushirika alisema kuwa kupitia miradi wanayopata vijana kutoka Moshi, Mwanza wameweza kupta ajila pamoja na vijana wanaozunguka mgodi huo wa Nyamongo.

“Ninapata maendeleo kawa sababu nashirikisha wananchi wangu na kutoa maamuzi nawaomba viongozi wenzangu waondokane na siasa katika masuala ya Maendeleo kwani mgodi una nia nzuri ya kutusaidia na unazudi kutekeleza miradi ya jamii kulingana na miktaba ya vijiji inavyosema” alisema.

Licha ya hayo alisema kuwa kupitia ushirika huo wameweza kulipia watoto wanaishi katika mazingira magumu pamoja na ulemavu ambapo kwa wasasa wanatarajia kuomba mgodi ili waweze kujenga nyumba za kisasa sitini ili waweze kukodisha mgodi ili wafanyakazi wa mgodini waweze kutumia makazi hayo.

“Tunatarajia  kuongea na Meneja wa mgodi tuweze kupewa hiyo tenda na mpaka sasa tayari tumejenga nyumba moja ya mfano iliaje akague na kulidhia tuweze kujenga nyingine ili ushirika ukakauwe mwisho kuwa banki” alisema.
                                      ……. Mwisho….


Powered by Blogger.