WANANCHI WA KIJIJIJCHA MIRARE WILAYANI RORYA WAMWOMBA MBUNGE KUMALIZA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI:
Rorya:
WANANCHI
WA KIJIJIJCHA MIRARE WILAYANI RORYA WAMWOMBA MBUNGE KUMALIZA CHANGAMOTO
ZINAZOWAKABILI:
Wananchi wa kijiji cha Marongo kata ya
Mirare Tarafa ya Girango Wilayani Rorya Mkoani Mara wamemwomba
Mbunge wa Jimbo la Rorya Bw:Lameck Airo kuwasaidia katika kutatua Changamoto
zinazo wakabili katika kijijin hicho kwa lengo la kuendeleza kukuza Uchumi.
Kauli hiyo imetolewa na Ofisa Mtendaji wa
kijiji katika kusoma risala ya Serikali ya kijiji Bw:Lameck Gebwa kwa niaba ya
Wananchi wa kijiji cha Marongo mbele ya Mbunge katika Mkutano wa hadhara
uliofanyika katika Viwanja vya shule ya Msingi Ingri Chini kwa lengola
kukusanya Maoni ya Wananchi kutoka katika Vijiji sita vinavyozunguka Ardhi
ambayo imekuwa na Mgogoro takribani Miaka Kumi na Tatu kati ya Kampuni ya
UDAFCO na Ushirika wa UMONI huo ni Umoja wa Vijiji sita Vinavyozunguka
Ardhi hiyo.
Wananchi hao walisema kuwa Changamoto hizo
zimazowakabili hivyo wameomba mbunge kama Mwakilishi wao kuweza kumaliza
changamoto ikiwa ni pamoja na kutetea haki zao za msingi na kuweza kupat
Mwafaka wa kurudishiwa Ardhi yao mikononi wa Wananchi hao kwani
wamnyanganywa na Mwekezaji kutoka katika kampuni ya UDAFCO.
Wananchi
hao kupitia Serikali ya kijiji wametaja changamoto
kuwa kijiji hicho kinakabiliwa na
Ukosefu wa maji safi na salama, kumalizia Nyumba ya katika shule ya
Msingi Nyamwale kwani Wananchi hao wametumia nguvu zao na kuisha njiani, na
kutengeneza Bara bara ya kutoka katika Kanisa la kisabato lililopo katika
kijiji cha Marongo mpaka Mto Moli.
Sanjari
na hayo ili kuweza kupata suruhisho la Mgogoro huo kati ya Wananchi wa Vijiji
saba Mbunge huyo ameamua kuzunguka katika vijiji sita kwa kushirikiana na
Kamati yake, kamati ya halmashauri ya Wilaya hiyo pamoja na Wanasheria wa
Serikali na kujitegemea uku Wananchi wananchi wakipiga kura ya wazi kuhusu
shamba hilo kuzidi kumilikishwa na wawekezaji bilia Wananchi kupata feaida
yeyote.
Katika kijiji cha Mirare wananchi
176 wamepiga kura wakitaka kurudishwa kwa shamba hilo na wananchi 15
hawakupiga kura na 2wamependekeza A ksilimia kubwa kwenda kwa mwekezaji ili
kumalizikia kwa Migogoro hiyo na mpaka sasa tayari amezunguka takribani Vijiji
vinne akifanya Mkutano wa hadhara ili asilimia kubwa ya kura wanadai
kurudishwa kwa shamba hilo na kuweza kuendeleza kilimo chao kwani kilimo ndo
Mkombozi wao.
Mbunge huyo Lameck Airo alisema kuwa yeye
yuko tayari kuungana na asilimia kubwa inayoitaji haki na kuweza na kuweza
kufikisha Maoni ya wananchi hao kutoka Vijiji sita kwa Waziri huska na
kuweza kupatikana kwa Mwafaka kuhusu shamba hilo kurudi kwa wananchi au
Mwekezaji
Babada ya kumalizika kwa Mkutano wa Kijiji
cha Mirare kata ya Mirare Tarafa Girango Msafara wa Mbunge uliweza kuelekea
katika Mkutano Mwingine kwa ajili ya kuendelea kukusanya Maoni ya
wanachi ili waweze kurudishiwa Ardhi yao inayomilikiwa na Mwekezaji na
Mkurugenzi wa Kampuni ya UDAFCO Bw: Otieno Igogo.
Kwa upande wa wananchi wa
kijiji cha Nyanduga wamepiga kura za wazi ka vijiji vingine Wananchi 6
wamependekeza Mwekezaji kupata asilimia kubwa kuliko Mwananchi na Wananchi176.
Aidha Mbunge huyo amekemea a suala zima la
Wizi wa mifugo pamoja na kushirikiana na na kukanya baadhi ya Wananchi wanaoshirikiana
na wezi wanaopitisha mifugo baada ya kuibwa katika vijiji jirani na kuongeza
kuwa Maoni hayo ua Wananchi zitatengenezwa nakala nyingi na kuweza kurudishwa
kwa Wananchi zikiwa na Miuri ya Mbunge kwa lengo la kupitia yale waliyoyasema
katika Mikutano hiyo.