Mhubiri wa kimataifa azawadiwa upanga:

Mchungaji Thobias Oluoch akikabidhi awadi ya chungu kwa mama mchungaji baada ya kukabidhi zawadi ya upanga mhubiri wa kimataifa Dr Egon Falk katika mkutano wa injiri unaofanyika viwanja vya serengeti mjini Tarime




Mhubiri wa kimataifa azawadiwa upanga:

Mhubiri wa kimataifa kutoka Denimarka Dr Egon Falk amezawadiwa  upanga katika mkutano wa Injiri unaotarajia kuanza Juni 25 hadi Juni 29 Mwaka huu katika viwanja vya Serengeti Mijini Tarime uku miujiza mbalimbali  ikitendeka pamoja na upnyaji.

Katika kukabidhi zawadi hiyo iliyoandaliwa na Kamati ya Maandalizi Mwenyekiti wa  mkutano huo Mchungaji Thobias Oluochi wa kanisa la Nazareti alisema kuwa upanga  uo ni ishara ya kumkaribisha mgeni huyo kwa lengo la kutumia   upanga ili kuweza kukata roho chafu.

“Tumekupa upanga huu utumike kutaka roho chafu ambazo zitaweza kusogelea mkutano wetu pia tunatoa chungu kwa Mama mchungaji kama ishara yakuendeleza tamaduni za  kiafrika chungu kitatumika kupika chakula cha bwana” alsema Mchungaji oluochi katika kukabidhi zawadi hizo.

Mchungaji huyo aliongeza kuwa zawadi hiyo itakuwa yakwanza kwa Mhubiri huyo wa kimataifa nakumtaka kuitumia vyema katika kukata roho chafu kwa lengo  la kuleta yaliyomema ndani ya wilaya ya Tarime.

Dr Egon alisema kuwa wanatarimea wategemee miujiza kutoka kwake kakribani siku tano ndani ya viwanja  vya sababa nakusema kuwa amependezzwa na kuwepo  kwa viongozi wa kike katika wilaya ya Tarime.

 “Nakumbuka miaka arobaini iliyopita hapakuwa uongozi wa mwanamke nashukuru mwenyezi mungu abagui kila mtu awe mwafirika muzungu,kila mtu anaweza kuongoza katika jina la yesu” alisema Dr Egon.

Hata hivo Mhubiri huyo aliwataka wakazi wote wa Tarime wenye dini wasikuwa na dini kuuzulia mkutano huo wa hadhara kwa lengola kusikia nenola bwana ili wagonjwa,Vipofu, Virema waweze kuponywa kwa nguvu za mwenyezi mungu.

                                             
Powered by Blogger.