Wazee wa Mila Tarime waendelea kufunguka Vikali katika Kutoa Elimu ya Ku...

Wazee
wa Mila Muungano wa koo 12 Wilaya ya Tarime Mkoani Mara wakitoa Elimu
ya Kupiga Vita suala la Ukeketaji kwa Mtoto wa Kike pamoja na kupiga
Vita Miiko ambayo inaendelea kukandamiza Mtoto wa kike ambaye
hajakeketwa ni katika Mkutano wa hadhara kijiji cha Pemba kata ya Pemba 
katika Koo ya Bukira
Elimu inaendelea Kutolewa kwa Wananchi wa kijiji cha Pemba.
Wazee wa Mila  wakiwa katika Kikao hicho
Elias
Maganya kutoka Koo ya Bukenye akitoa elimu kwa Wananchi kuhusu suala la
Wazee kuondoa Miiko na kupiga Vita Ukeketaji kwa Mtoto wa Kike.
Abel
Gichaine ambaye ni Mratibu wa Huduma ya Afya na Ustawi wa Jamii Wilaya
ya Tarime akifafanua  kuhusu Madhara ya Ukeketaji pamona na Sheria
inayolinda Mtoto ya Mwaka 2009.




Sister
Stella Mgaya ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la ATFGM Masanga ambao ni
wadau wa kupiga Vita Ukatili wa Kijinsia pia wanazunguka na Wazee hao
katika Koo12 kwa lengo la kupinga Ukeketaji kwa Mtoto wa Kike
.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Pemba akiongea na Wananchi katika Kikao hicho cha Wazee wa Mila.
Wangubo Mtongori Mzee wa Mila Koo ya Bukira akitoa Elimu kwa Wananchi hao.
,,,Tazama Video kupata habari Kamili,,,
Powered by Blogger.