Video Tazama kijana aliyejenga Hotel juu ya Mti Tarime
Hotel iliyojengwa juu ya Mti Urefu wa futi 19 kutoka Chini hadi juu na kijana aitwaye Michael Anderw maarufu Matiko mkazi wa mtaa wa Nyamihutwa kata ya Nyamisangura Halmashauri ya Mji wa Tarime Mkoani Mara hotel hiyo inaweza kubeba watu 30 kwa wakati mmoja. |
Mkurugenzi Mtendaji wa CLEO24NEWS akiwa na kijana Matiko ambaye amejenga Hotel juu ya Mti ili kiwe kivutio kwa watanzania kwa lengo la kujiingizia kipato. |
| ||
Moja ya viti vya asili ambavyo ametengenneza kijana huyo. |
Viti vya asili. |
TAZAMA VIDEO KIJANA ALIYEJENGA HOTEL JUU YA MTI AKISIMULIA ZAIDI.