Serikali Yatoa Majibu Bungeni Kuhusu Kujenga Uwanja wa Ndege Chato

Naibu
Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amesema kuwa uwanja wa ndege wa mkoa
wa Geita unaojengwa wilayani Chato utakapokamilika utatumika
kusafirisha madini, watu na vifaa.



==>Msikilize hapo chini akitoa majibu bungeni
Powered by Blogger.