DC.MUSOMA AZINDUA UPIGAJI CHAPA MIFUGO.

DR. Naano akizindua shughuli ya upigaji chapa wa Ng'ombe katika wilaya ya musoma.










Mkuu wawila ya musoma akinanena jambo na Dr mjema mara baada ya shughuli kuzinduliwa.



Dc Naano akiwa na baadhi ya wafugaji wakibadirishan mawazo
















Ngombe wapatao 85,000 wanatarajiwa kuwekwa alama maalumu ya utambuzi itakaweza kusaidia kujulika na mifugo ya kila eneo wilayani musoma.
ambapo sasa novemba 14 mkuu wawilaya ya musoma dkt. Vicent Naano amezindua rasimi uwekaji alama huo katika kijiji cha tegeruka huko katika hlamshauri ya musoma lengo ikiwa nikupunguza wizi lakini pia alisema kuwa nikuitambua mifugo iliyoka katika eneo husika.
PICHA ZOTE NA MAKALI BOG
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI DC AKIZUNGUMZIA SUALA LA MIFUGO