WANAFUNZI WA MEMKWA MKOA WA MARA WAPEWA VIFAA VYA SHULE

Mwenyekiti
Mwenza Mara Alliance Father Cleophas Sabure akikabidhi vifaa vya Shule
kwa Mwanafunzi wa MEMKWA Katika kituo cha Memkwa kilichopo Shule ya
Msingi Kesangura Wilayani Tarime Mkoani Mara, Vifaa hivyo vinatolewa na
Muungano wa wadau wa Maendeleo Mkoa wa Mara kwa kushirikiana na Taasisi
ya Gracal Machel Trust.
Mwenyekiti
mwenza Mara Alliance Father Cleophas Sabure akiongea na Wanafunzi wa
MEMKWA, Wazazi na Walezi kabla ya kugawa vifaa hivyo kwa wanafunzi.
Walimu wa MEMKWA wakipatiowa vifaa vya kufundishia







                               Walimu wakipewa vifaa vya kufundishi
Tunashukuru kwa Vifaa hivi.
Picha ya pamoja kutoka kushoto ni Mwenyekiti mwenza Mara Alliance Fafher Cleophas Sabure.
HABARI ZAIDI TAZAMA VIDEO HAPA CHINI.
Powered by Blogger.