|
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt Harrison Mwakyembe akizungumza na uongozi wa Chama cha Ngoma za na Muziki
wa Asili Tanzania (CHANGAMATA) wakati alipokutana nao Ofisini kwake Mjini
Dodoma kujadili masuala mbalimbali ya Sanaa za Ngona na Muziki Asili Tanzania Jana April 21, 2017.
|
|
Mwenyekiti wa Chama cha Ngoma za na Muziki wa
Asili Tanzania (CHANGAMATA) Wanne Salim Kutoka Kikundi cha Wanne Star
akieleza changamoto mbalimbali zinazowakabili wasanii wa Ngoma na Muziki
Asili kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison
Mwakyembe wakati walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma Jana April 21, 2017.
|
|
Katibu wa Chama cha Ngoma za na Muziki wa Asili
Tanzania (CHANGAMATA) Richard Muro
akifafanua jambo kwa Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe wakati walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma Jana April 21,2017.
|
|
Mmoja wa wasanii kutoka Chama cha Ngoma za na
Muziki wa Asili Tanzania (CHANGAMATA) Zuhura Khatib akimueleza jambo Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe wakati
walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma Jana April 21, 2017.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt Harrison Mwakyembe akipokea zaswadi ya Ngoma kutoka kwa Chama cha Ngoma
na Muziki wa Asili Tanzania (CHANGAMATA) wakati alipokutana nao Ofisini kwake
Mjini Dodoma kujadili masuala mbalimbali ya Sanaa za Ngoma na Muziki Asili
Tanzania Jana April 21, 2017.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt Harrison Mwakyembe akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Chama cha Ngoma na Muziki wa
Asili Tanzania (CHANGAMATA) wakati alipokutana nao Ofisini kwake Mjini Dodoma
kujadili masuala mbalimbali ya Sanaa za Ngoma na Muziki Asili Tanzania Jana April 21, 2017.
|
Picha na Raymond Mushumbusi
|
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt Harrison Mwakyembe akizungumza na uongozi wa Chama cha Ngoma za na Muziki
wa Asili Tanzania (CHANGAMATA) wakati alipokutana nao Ofisini kwake Mjini
Dodoma kujadili masuala mbalimbali ya Sanaa za Ngona na Muziki Asili Tanzania Jana April 21, 2017.
|
|
Mwenyekiti wa Chama cha Ngoma za na Muziki wa
Asili Tanzania (CHANGAMATA) Wanne Salim Kutoka Kikundi cha Wanne Star
akieleza changamoto mbalimbali zinazowakabili wasanii wa Ngoma na Muziki
Asili kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison
Mwakyembe wakati walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma jana April 21, 2017.
|
|
Katibu wa Chama cha Ngoma za na Muziki wa Asili
Tanzania (CHANGAMATA) Richard Muro
akifafanua jambo kwa Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe wakati walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma jana April 21,2017.
|
|
Mmoja wa wasanii kutoka Chama cha Ngoma za na
Muziki wa Asili Tanzania (CHANGAMATA) Zuhura Khatib akimueleza jambo Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe wakati
walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma Jana April 21, 2017.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt Harrison Mwakyembe akipokea zaswadi ya Ngoma kutoka kwa Chama cha Ngoma
na Muziki wa Asili Tanzania (CHANGAMATA) wakati alipokutana nao Ofisini kwake
Mjini Dodoma kujadili masuala mbalimbali ya Sanaa za Ngoma na Muziki Asili
Tanzania Jana April 21, 2017.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt Harrison Mwakyembe akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Chama cha Ngoma na Muziki wa
Asili Tanzania (CHANGAMATA) wakati alipokutana nao Ofisini kwake Mjini Dodoma
kujadili masuala mbalimbali ya Sanaa za Ngoma na Muziki Asili Tanzania Jana
April 21, 2017.
|
Picha na Raymond Mushumbusi