MUUNGANO WA VIONGOZI WA DINI TARIME INTER FAITH WAKUTANA NA SERIKALI YA KIJIJI CHA KEISANGURA KATA YA NYAMWAGA , WAZUNGUMZIA TUKIO LA KUKATWA MKONO MWITA MAGIGE.

Mwenyekiti wa INTER FAITH ambaye pia ni Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Tarime  Sheikh Abdul Hakim Soud akiongea na uongozi wa Serikali ya kijiji cha Keisangura kata ya Nyamwaga katika kikao cha kuzungumzia suala zima la Amani kijijini hapo.


Wajumbe wa serikali ya kijiji cha Keisangura



wajumbe wakichangia katika kikao hicho.

Father Paul Joseph Kwaang akiongea na CLEO24 NEWS baada ya kikao cha pamoja na Viongozi wa serikali ya kijiji cha Keisangura Kata ya Nyamwaga Wilayani Tarime Mkoani Mara.

Sheikh  wa Mtaa wa Tarime Mjini ambaye pia ni Naibu katibu wa INTER FAITH Tawfiq Hussein akiongea na CLEO24 NEWS baada ya kikao hicho

Viongozi wa Dini INTER FAITH Wilayani Tarime Mkoani Mara wakiongea na Mwita Magige Kulia wa kwanza nyumbani kwake  kutokana na tukio la kukatwa mkono wake wa kushoto hadi kudondoka.





Mwita Magige katikati akiongea na Uongozi wa serikali ya kijiji amesema kwa sasa hana kinyongo na uongozi kutokana na tukio lililompata.


Powered by Blogger.