DIWANI KATA YA IKOMO RORYA ANDREW NYAKRIGA AKABIDHI MIFUKO 22 YA SARUJI SHULE YA MSINGI BUGIRE
![]() |
![]() |
Diwani kata ya Ikoma Wilayani Rorya Mkoani Mara Andrew Mng'os Nyakriga akikagua ujenzi wa Vyumba Nane vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu za wananchi shule ya msingi Bugire.
|
![]() |
![]() |
Diwani Ikomo akiongea na CLEO24 NEWS baada ya kukabidhi Mifuko 22 ya Saruji shule ya Msingi bugire iliyopo Wilayani rorya Mkoani Mara. |
![]() |
Mwenyekiti wa kijiji cha Ikoma kata ya Ikomo Wilayani Rorya. |
![]() |
Mwananchi akiongea na CLEO24 NEWS amezidi kusistiza wanachi kujitolea kwa lengo la kujenga Madarasa ili kunusuru watoto wao likiwemo suala zima la Madawati. |