Ofisi ya Mbunge Matiko wakabidhi mifuko ya saruji shule ya msingi Buguti Mjini Tarime
Kulia ni katibu wa Mbunge Peter Magwi akikabidhi tena mifuko 05 ya Saruji kwa mwenyekiti wa mtaa wa Rebu Shuleni Charles Daniel Kushoto kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya Mtaa huo |