MAPITIO YA MKATABA KATI YA TBC NA STRATIMES KUMALIZIKA MWEZI APRIL:WAZIRI NAPE
![]() |
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye(aliyesimama)
akizungumza na Kamati ya Bunge ya maendeleo ya Jamii pamoja na Uongozi wa
Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakati kamati hiyo chini ya mwenyekiti
Mhe. Peter Serukamaba (Mb) ilipotembelea Shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam
.
![]() |
Mwenyekiti
wa Kamati ya Bunge ya maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba(Mb) (aliyesimama)akitoa
maelezo mafupi kuhusu dhumuni la ziara ya kamati hiyo katika Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) katika
kikao kazi wakati kamati hiyo
ilipotembelea TBC leo Jijini Dar
es Salaam .Wa kwanza kulia ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura.



